- 560
- 27 423 317
CHRISTOPHER AND DIANA MWAKASEGE CHANNEL
Tanzania
Приєднався 29 чер 2018
MANA TANZANIA
MANA ni Huduma ya Neno la Mungu yenye makao yake makuu Arusha Tanzania. Huduma hii inaongozwa na Neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Yohana 21:17 "Yesu akamwambia,"Lisha kondoo zangu".
Lengo kuu la Huduma hii ni kueneza Injili ya Yesu Kristo kwa watu wote.
MANA Tanzania na Mwl. Christopher Mwakasege:
P. O Box 2166, Arusha, Tanzania.
Simu:
(+255) 736 50 10 81
(+255) 745 52 52 25
(+255) 739 50 10 81
Email:
christopherdianamwakasege@gmail.com
MANA ni Huduma ya Neno la Mungu yenye makao yake makuu Arusha Tanzania. Huduma hii inaongozwa na Neno la Mungu kutoka katika kitabu cha Yohana 21:17 "Yesu akamwambia,"Lisha kondoo zangu".
Lengo kuu la Huduma hii ni kueneza Injili ya Yesu Kristo kwa watu wote.
MANA Tanzania na Mwl. Christopher Mwakasege:
P. O Box 2166, Arusha, Tanzania.
Simu:
(+255) 736 50 10 81
(+255) 745 52 52 25
(+255) 739 50 10 81
Email:
christopherdianamwakasege@gmail.com
MUNGU ANATAKA UONE KAMA YEYE || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Kongamano LaWanawake Waombaji - Arusha 2024
Переглядів: 26 733
Відео
FAIDA ZA UHUSIANO WA IMANI NA NGUVU ZA MUNGU NDANI YA MUOMBAJI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 16 тис.14 днів тому
Kongamano LaWanawake Waombaji - Arusha 2024
MAISHA YAKO HAYAFANANI NA YA MTU MWINGINE || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || KAHAMA
Переглядів 37 тис.Місяць тому
Semina Ya Neno La Mungu Kahama || Day 5 || 2024 "MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA"
UCHUMI HAUKO KWENYE VITU, UCHUMI UKO KWENYE NYAKATI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 50 тис.Місяць тому
Semina Ya Neno La Mungu Kahama || Day 5 || 2024 "MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA"
OMBEA MABADILIKO YANAYOKUJA JUU YA NCHI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 8 тис.Місяць тому
Semina ya Neno la Mungu Kahama Day 5 || 2024 || "MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA"
5B. MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA || Mwl Christopher Mwakasege || KAHAMA
Переглядів 19 тис.Місяць тому
Semina ya Neno La Mungu Kahama || Day 5 || Tarehe 12 Mei 2024
5C. MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA || Mwl Christopher Mwakasege || KAHAMA
Переглядів 23 тис.Місяць тому
Semina ya Neno La Mungu Kahama || Day 5 || Tarehe 12 Mei 2024
MUNGU ANAKUANDAA KWA KILE ALICHOKUANDALIA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 40 тис.Місяць тому
Semina ya Neno La Mungu || Kahama Day 5 || 2024
5A. MPE MUNGU MOYO WAKO AUANDAE KWA YALE YANAYOKUJA || Mwl Christopher Mwakasege || KAHAMA
Переглядів 23 тис.Місяць тому
Semina ya Neno La Mungu Kahama || Day 5 || Tarehe 12 Mei 2024
KAMA KRISTO ASINGEFUFUKA TUSINGEPATA MSAMAHA WA DHAMBI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 5 тис.Місяць тому
KAMA KRISTO ASINGEFUFUKA TUSINGEPATA MSAMAHA WA DHAMBI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
HAYA NI MAOMBI YANGU || PRAISE & WORSHIP TEAM || MUSOMA
Переглядів 3,6 тис.Місяць тому
HAYA NI MAOMBI YANGU || PRAISE & WORSHIP TEAM || MUSOMA
FAIDA YA MEZA YA CHAKULA CHABWANA KWENYE VITA VYA KIROHO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 5 тис.Місяць тому
FAIDA YA MEZA YA CHAKULA CHABWANA KWENYE VITA VYA KIROHO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
UNAPOSHIRIKI MEZA YA CHAKULA CHA BWANA, UNAMPA YESU NAFASI YA KUPIGANA KWAAJILI YAKO.
Переглядів 11 тис.Місяць тому
UNAPOSHIRIKI MEZA YA CHAKULA CHA BWANA, UNAMPA YESU NAFASI YA KUPIGANA KWAAJILI YAKO.
PALIPO NA UAMSHO NA MAJARIBU YAPO HAPO HAPO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || DODOMA
Переглядів 15 тис.2 місяці тому
PALIPO NA UAMSHO NA MAJARIBU YAPO HAPO HAPO || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || DODOMA
USIPIGANE VITA VYA KIDINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 6 тис.2 місяці тому
USIPIGANE VITA VYA KIDINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
UKIAMUA KUSIMAMA NA YESU KUNA GHARAMA ZAKE || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 14 тис.2 місяці тому
UKIAMUA KUSIMAMA NA YESU KUNA GHARAMA ZAKE || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
MAOMBI YA MWL MWAKASEGE JUU YA SHIRIKA LA NDEGE, RELI NA MIFUMO MINGINE INAYOONGOZA NCHI YA TANZANIA
Переглядів 4,4 тис.2 місяці тому
MAOMBI YA MWL MWAKASEGE JUU YA SHIRIKA LA NDEGE, RELI NA MIFUMO MINGINE INAYOONGOZA NCHI YA TANZANIA
UKIONA VITA VINAKUJA KWAKO JUA KWAMBA IMANI YAKO NDIO INAWINDWA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 5 тис.2 місяці тому
UKIONA VITA VINAKUJA KWAKO JUA KWAMBA IMANI YAKO NDIO INAWINDWA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
UNABII ULIOTOLEWA JUU YA MKOA WA DODOMA ULIVYOTIMIA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 40 тис.2 місяці тому
UNABII ULIOTOLEWA JUU YA MKOA WA DODOMA ULIVYOTIMIA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
UHUSIANO WETU NA MUNGU HAUTEGEMEI VITU ANAVYOTUPA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 21 тис.2 місяці тому
UHUSIANO WETU NA MUNGU HAUTEGEMEI VITU ANAVYOTUPA || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
SII KILA JARIBU UNAHITAJI KUGOMBANA NA SHETANI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 19 тис.2 місяці тому
SII KILA JARIBU UNAHITAJI KUGOMBANA NA SHETANI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
TUNATEMBELEA NEEMA ILIYOKO NDANI YA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
Переглядів 24 тис.3 місяці тому
TUNATEMBELEA NEEMA ILIYOKO NDANI YA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE:
SIJUI UNACHOKISIKIA LAKINI NAJUA NINACHOKISIKIA || Mwl Christopher Mwakasege
Переглядів 13 тис.4 місяці тому
SIJUI UNACHOKISIKIA LAKINI NAJUA NINACHOKISIKIA || Mwl Christopher Mwakasege
SHETANI AKITAKA KUKUVURAGA ANABANA AKILI ZAKO || Mwl Christopher Mwakasege
Переглядів 26 тис.4 місяці тому
SHETANI AKITAKA KUKUVURAGA ANABANA AKILI ZAKO || Mwl Christopher Mwakasege
CHUNGA SANA MAAMUZI UNAYOYACHUKUA WAKATI UNA HASIRA || mwl Christopher Mwakasege
Переглядів 34 тис.4 місяці тому
CHUNGA SANA MAAMUZI UNAYOYACHUKUA WAKATI UNA HASIRA || mwl Christopher Mwakasege
Mungu Akikusemesha Usiogope || Mwl Christopher Mwakasege || Moshi 2024
Переглядів 15 тис.4 місяці тому
Mungu Akikusemesha Usiogope || Mwl Christopher Mwakasege || Moshi 2024
Shetani Akikukamata Anatoboa Macho Yako Ya Rohoni ili Usione || Mwl Christopher Mwakasege:
Переглядів 18 тис.4 місяці тому
Shetani Akikukamata Anatoboa Macho Yako Ya Rohoni ili Usione || Mwl Christopher Mwakasege:
Neema Ya Bwana Iko Juu Yako || Mwl Christopher Mwakasege || Moshi 2024.
Переглядів 21 тис.4 місяці тому
Neema Ya Bwana Iko Juu Yako || Mwl Christopher Mwakasege || Moshi 2024.
ANGALIZO KUTOKA KWA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE !!!
Переглядів 6 тис.4 місяці тому
ANGALIZO KUTOKA KWA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE !!!
Ujumbe sahihi kwa wakati huu wa mwisho
5:✓✓Kutoka 13:30-33. Hakuna kitu kibaya kama kupima ahadi za Mungu kwa uwezo wangu.
IJUE NGUVU YA MSALABA ITENDAVYO KAZI ILI UNUFAIKE NAYO. MALENGO 1: Uijue nguvu iliyomo ktk msalaba wa Yesu 1: Inavyodjihirika kiutendaji ili ikunufaishe ✓✓✓1cor 1:18 Nguvu za Mungu zinavoweza kuachiliwa ndani ya mtu 2: Kujizoeza kulitazama neno la msalaba kwa ajili yangu, kwa jicho la uaminifu wa Mungu. ✓✓✓ 1cor 1:18 Neno la msalaba ambalo Mungu analiachia kwangu kibinafsi,,lakin nilitazame kwa jicho la uaminifu wa Mungu ✓✓✓ isaya53:1-12 Vitu ambavyo vitatokea Yesu atakapokuja. ✓✓✓ Ni Nani aliyesadiki habari za msalaba,,atakaesadiki ndiye ambaye mkono wa Bwana utafunuliwa kwake. ✓✓✓ 1theso5:24 Yohana 12:32 Uaminifu wake ndio unaomfanya atende Yale aliyoahidi. ¶¶¶¶UAMINIFU WA MUNGU KTK MAANDIKO. Tunapaswa kuuona uaminifu wa Mungu kabla ya ahadi ya Mungu. KWA NINI UAMINIFU WA MUNGU?? ✓✓✓ nitakutana na vitu vingi Sana vitakavokwamisha nisichukue vya kwangu,,ambapo ili niweze kuvichukua lazma nitazame uaminifu wa Mungu. ✓✓✓MIFANO (i) Hesabu 21:4-9 Kulikuwa na Nyoka wawili,,,Nyoka was sumu na Nyoka wa shaba,,,,Mungu hakuondoa Nyoka wa sumu ili waangalie wa shaba ,,, Kunung'unika Ni moja ya njia inayoonyesha kuwa imani yako imeyumba. ✓✓✓ Lengo la Mungu lilikuwa kuwarudishia imani itakayowasaidia waendelee na safari. ¶¶¶¶ tatizo la bustan ya Eden lilikuwa Ni tatizo la kiimani. ✓✓✓✓✓✓✓✓ kila unapokutana na kitu ambacho kina ahadi ya Mungu ndani yake,,,Kuna kitu mbadala kitajitokeza. Mungu alikuwa anatafuta Nini? ✓✓✓ alikuwa anatafuta kurudisha neno lake ndani ya moyo wa mwanadamu. ❤❤❤ Lazima kujifunza kutafakari 2: Ibrahim na mke wake ✓✓✓✓Rum4:18-21. ✓✓✓✓Hebrew 11:11 Kuanzia pale hawakutazama ahadi za Mungu kwa macho yao,√√√,wakaanza kutazama ahadi za Mungu kwa jicho la uaminifu wa Mungu.}👀 ❤❤❤ Pesa bila imani kwa Mungu Ni pesa kilema. 3:Mfano wa yeremia ✓✓✓✓ Yeremia 1:11-12 Naliangalia neno langu nipate kulitimiza. ❤❤❤ Mungu akisema nami,,ndivyo nilivyo. 4: Mfano wa Yusufu ✓✓✓✓ Genesis 37:1-11 Roman 8:28 ✓✓✓Maombolezo3:,,, uaminifu wa Mungu Ni mkuu Sana kwetu hasa kweny ahadi za neno lake.
MUNGU NI MMOJA TUU
Mungu azidi kukutia nguvu mtumishi Hili neno limenitia moyo katika imani
Ubarikiwe sana mwl
Hili somo nimekisikiliza leo tokea asubuhi. Nasikiliza naacha naandika, nasikiliza naacha . Mafunuo haya ni makubwa mno. Neema hii ni kubwa mno. Asante Yesu kwa ajili mtumishi wako mwl Mwakasege.
Wanavyopokea watu wa morogoro nipokee na mimi uponyaji wangu wa presha kuuma kichwA
Kupitia semina hii mungu nipokee uponyaji wa damu ya Yesu
Nabarikiwa Sana
Asante kwa ufunuo huu, hizi ndo siri za mbinguni. Na mwalimu upo kuzifunua kwa watu.
Amen Mchungaji Mungu akubariki kwa Neno zuri❤❤❤❤❤❤
najiungamanisha na madhabahu hii ee Bwana usinipite
Asante Yesu kwa ajili neno lako
Amen🙌
Amen
AMEN
Ameeeeen
Amen
Eeh Mungu wangu neno hili halijaanguka bure, ninaomba unikumbuke na mbegu hii ikakuzalie matunda mema Amen
nasikiliza
Nimebarikiwa sana na huduma hii, seminar hii na ibada hii. Mungu awabariki sana sana na asiwapungukie kiroho na kimwili. Kwako Mwalimu, Mama Mwalimu familia yako na Wana MANA wote.
🙏🙏🙏🙏
Mama Mtumishi wa Mungu ni kweli kabisa unayotaaema kuhusu michezo ya vijana wetu inaumiza sana ila Kwa maombi tu Mungu aingilie kati na kubatilisha Kila ufalme wa shetani ndani Yao.
Asante Yesu kunisikizisha neno lako Katika nchi ya utumwa sio Jambo jepesi 😢🇸🇦🇸🇦🇰🇪
Mungu wa mbinguni akufunike na uwepo wake🙏🏾😍
@@jovitaaugustine Amina Amina asante Sana
Amen
Mungu akubariki Mwl kwa mafundisho
Kaka Mwangosi Yesu akutunze sana
Babaa na mama tunawaombea Sana
Damu ya Yesu iwafunike nyote katika huduma
Tunamshukuru MUNGU tunajua ni neema tu .kwetu nchini
Baba, mwalimu, Mungu aendelee kukutunza pamoja na wote unaotenda nao kazi.
Barikiwa mtumishi wa Mungu Kwa kutufundisha Mungu aendelee kukuimarisha.
Tumebarikiwa na mafundisho
Mungu akutunze Mwalim
Nimefurahi Sana kukuona kaka Paul Mwangosi. MUNGU aendelee kukutunza
Amina MUNGU akubaliki sana mwalimu
Nimebarikiwa sana na Huduma hii Mungu Azidi kuinua kazi yake kupitia Mwalimu Mwakasege .
Ameen
Asante Mwalimu Christopher Mwakasege kwa somo zuri, barikiwa na Bwana Yesu
AMEN
Yesu naomba univushe ❤
Fursa ya msalaba hata Kama Ni nukta tu ina msaada mkubwa Sana. ✓✓✓
Tunapaswa kuchukua kile tulichoahidiwa na msalaba ✓✓✓ Luka23:32-33,,39-42 Col 2:44 Kwanini walisulubiwa watatu? ¶¶¶ Shetani alitaka kuweka confusion ili watu waone Ni Jambo tu la kawaida,,,ili wasiiamini nguvu iliyomo ndani ya msalaba. ✓✓✓ Si kila penye msalaba Yesu yupo. ✓✓Si kila msalaba unamuinua Kristo,,lazima kuangalia Ni Nani anainuliwa kwenye huo msalaba.ni hadi macho yako ya ndani yafunguliwe upate kuona kile kilichopo ndani ya msalaba. ✓✓✓ si kila msalaba umebeba kitu kinachofanana. ✓✓Mhalifu wa pili aliona msalaba wa Yesu kuwa Ni tofauti na misalaba yao. ✓✓✓✓✓ 4: kila msalaba una fursa lakini hazifanani.
Ameni nimepokea nguvu ya msalaba kwa jina la Yesu
Ijue nguvu ya msalaba itendavyo kazi ili unufaike nayo. ✓✓ malengo 1: uijue nguvu iliyomo katika msalaba was Yesu 2: Ujue inachofanya idhihirike kiutendaji ili ikunufaishe. ✓✓1Cor 1:18 Neno la msalaba Ni nguvu ya Mungu ie √√pale msalabani Kuna nguvu. ✓✓✓✓✓Utazame msalaba was Yesu uone fursa ya msalaba was Yesu. Mifano 1:Nyoka wa jangwani Hesabu 21:4-9,,,yohana 3:14-15 ✓✓✓Hakukuwa kutazama kwa kawaida Atazamaye>aaminiye© kutazama mpaka imani iumbike ndani yako. ✓✓✓ Mungu alikuwa anawafundisha wana wa Israeli utii katika neno lake. ✓✓✓ neno la msalaba manake jibu letu lililowekwa ndani ya msalaba. ✓✓✓✓✓ walipokuwa wanatazama Nyoka walikuwa wanaona uponyaji na rehema. ✓✓ Unapopita mahali pagumu usiruhusu macho yako yakawa kipofu usione fursa iliyowekwa msalabani. ✓✓ Ukilaumu watu ,,unapofuka unapoteza fursa ya kutazama msalaba na kuchukua kile Mungu alichosema. ✓✓ Nguvu za msalaba no Roho was Kristo yule aliyemfufua kutoka katika wafu. ✓✓
Mungu ni mmoja Tu
Mungu akubariki sanaaa Mtumishi wa Mungu aliye hai
Amina
Aamina